Mashambulio ya kinyama ya Israel yaua Wapalestina wengine 60 Ghaza, 12 wanatoka familia moja

Zaidi ya watu 60 wameuawa shahidi katika mashambulio ya kinyama ya karibuni zaidi kufanywa na jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel katika Ukanda wa Ghaza huku idadi ya vifo ikiendelea kuongezeka.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *