Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Masuala ya Kisiasa wa Iran amesema, mchango wa Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani aliyeaga dunia hivi karibuni, Papa Francis ambaye daima alikuwa mstari wa mbele kusaidia wanyonge na wahanga wa unyanyasaji na ukatili, na vile vile misimamo yake ya kijasiri dhidi ya ukandamizaji, dhulma, ubaguzi na unyanyasaji kamwe haitasahaulika.
Related Posts
Jumatano, tarehe 12 Februari, 2025
Leo ni Jumatano tarehe 13 Shaaban 1446 Hijria sawa na Februari 12 mwaka 2025. Post Views: 25
Leo ni Jumatano tarehe 13 Shaaban 1446 Hijria sawa na Februari 12 mwaka 2025. Post Views: 25
Israel imewauwa shahidi Wapalestina zaidi ya 100 huko Gaza licha ya tangazo la usitishaji vita
Idara ya Ulinzi wa Raia ya Gaza imetangaza leo Ijumaa kuwa Wapalestina wasiopungua 101, wakiwemo watoto 27 na wanawake 31,…
Idara ya Ulinzi wa Raia ya Gaza imetangaza leo Ijumaa kuwa Wapalestina wasiopungua 101, wakiwemo watoto 27 na wanawake 31,…
Helikopta ya Urusi yaiangamizaq ngome ya Ukraine
Helikopta ya kundi la vita Kaskazini yaigonga ngome ya UkraineMgomo huo ulifanyika kwa makombora ya anga hadi angani ya C-8…
Helikopta ya kundi la vita Kaskazini yaigonga ngome ya UkraineMgomo huo ulifanyika kwa makombora ya anga hadi angani ya C-8…