Misri na Djibouti zalaani mashambulizi mapya ya Israel katika Ukanda wa Gaza

Rais wa Misri, Abdel-Fattah al-Sisi na mwenzake wa Djibouti, Ismail Omar Guelleh wametangaza uungaji mkono wao kwa juhudi za kumaliza vita katika Ukanda wa Gaza, na kulinda usalama wa baharini katika Bahari Nyekundu.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *