Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Sayyid Abbas Araghchi ameonya kwamba, utawala wa Kizayuni wa Israel na makundi fulani yenye maslahi maalumu huenda yakajaribu “kuvuruga diplomasia” kupitia vitendo vya hujuma na mauaji ya kigaidi wakati huu ambapo Jamhuri ya Kiislamu na Marekani zinafanya mazungumzo ya kufikia makubaliano kuhusu shughuli za nyuklia za taifa hili.
Related Posts
Jamii ya kimataifa yaendelea kunyamazia kimya jinai za Israel
Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi wa Kipalestina (UNRWA) limetoa onyo kali kuhusu vifo vya watoto wa Gaza…
Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi wa Kipalestina (UNRWA) limetoa onyo kali kuhusu vifo vya watoto wa Gaza…
Waasi wa DRC watangaza kuwa tayari kwa usitishaji mapigano
Muungano wa waasi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Alliance Fleuve Congo (AFC), unaojumuisha waasi wa M23, umetangaza kuwa tayari…
Muungano wa waasi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Alliance Fleuve Congo (AFC), unaojumuisha waasi wa M23, umetangaza kuwa tayari…

Meli za kivita za Urusi kutua kimkakati bandarini nchini India
Meli za kivita za Urusi hufanya simu ya kimkakati ya bandari nchini India (VIDEO)Ziara hiyo “inasisitiza ushirikiano mkubwa wa baharini”…
Meli za kivita za Urusi hufanya simu ya kimkakati ya bandari nchini India (VIDEO)Ziara hiyo “inasisitiza ushirikiano mkubwa wa baharini”…