UN: Hali ya kibinadamu Gaza ni mbaya zaidi tangu vita vilipoanza

Msemaji wa Ofisi ya Uratibu wa Masuala ya Kibinadamu ya Umoja wa Mataifa (OCHA) ameeleza wasi wasi wake mkubwa juu ya hatua ya utawala wa Israel ya kuzuia misaada ya kibinadamu kuingia Ukanda wa Gaza na kubainisha kwamba,  hali ya sasa ya Ukanda huo ni mbaya zaidi tangu kuanza kwa vita hivyo.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *