Waasi wa M23 na serikali ya Kinshasa zakubaliana kusitisha mapigano

Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo na kundi la waasi wa M23 zimetoa taarifa ya pamoja zikieleza kwamba, zimeafikiana kusitisha mapigano mashariki mwa nchi hiyo.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *