Hata UK, Ujerumani na Ufaransa nazo pia zalaani hatua ya Israel ya kuzuia misaada isiingizwe Ghaza

Ufaransa, Ujerumani na Uingereza nazo pia zimelaani hatua ya utawala wa Kizayuni wa Israel ya kuendelea kuzuia kikamilifu misaada ya kibinadamu isiingizwe katika Ukanda wa Ghaza, na kutoa wito wa kuanzishwa mara moja utoaji misaada bila vizuizi sambamba na juhudi mpya za kusitisha mapigano.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *