Jeshi la Burkina Faso lazuia jaribio la kumpindua Traore

Burkina Faso imethibitisha rasmi kwamba kulitokea jaribio la kuimpindua serikali ya nchi hiyo ambayo iko mstari wa mbele wa kuleta marekebisho ya kiuchumi kwa maslahi ya wananchi na dhidi ya madola ya kibeberu.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *