Kushadidi mivutano ya kisiasa baina ya Ufaransa na utawala wa Kizayuni

Utawala wa Israel umefuta viza za wabunge na maafisa 27 wa Ufaransa wa mrengo wa kushoto siku mbili kabla ya safari yao ya kuelekea Palestina inayokaliwa kwa mabavu iliyopewa jina bandia la Israel.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *