RSF ya Sudan yafanya mauaji mengine ya kutisha El-Fasher, Darfur Kaskazini

Raia wasiopungua 47 wameuawa katika mashambulizi ya mizinga yalilofanywa na Kikosi cha Msaada wa Haraka (RSF) huko El-Fasher, mji mkuu wa Jimbo la Darfur Kaskazini magharibi mwa Sudan.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *