Araghchi: Iran inaaminika, siku zote huheshimu kile inachosaini

Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu Iran amesisitiza kuwepo hakikisho la kudhaminiwa maslahi ya kiuchumi ya Iran kupitia makubaliano yoyote yatakayofikiwa na akaeleza kuwa, Iran ni ya kuaminika na daima huheshimu kile inachotia saini.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *