Ripota maalumu wa Umoja wa Mataifa anayehusika na haki za binadamu katika ardhi za Palestina amemuonya balozi mpya wa Marekani katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu zilizopachikwa jina bandia la Israel kwamba kuzuia misaada ya kibinadamu isiingizwe katika Ukanda wa Ghaza uliowekewa mzingiro ni uhalifu wa kivita.
Related Posts
Marekani na China zinashiriki katika mazoezi ya pamoja ya kijeshi – vyombo vya habari
Marekani na China zinashiriki katika mazoezi ya pamoja ya kijeshi – vyombo vya habariNchi hizo mbili zimetuma wanajeshi kushiriki katika…
Marekani na China zinashiriki katika mazoezi ya pamoja ya kijeshi – vyombo vya habariNchi hizo mbili zimetuma wanajeshi kushiriki katika…

Zelensky awashambulia WaMagharibi
Zelensky anashambulia Magharibi Kiongozi wa Ukrain ametoa wito kwa wanaomuunga mkono kuwa na ujasiri katika kuipatia Kiev silaha za masafa…
Zelensky anashambulia Magharibi Kiongozi wa Ukrain ametoa wito kwa wanaomuunga mkono kuwa na ujasiri katika kuipatia Kiev silaha za masafa…
Mashambulizi mapya yaanga ya Marekani yalenga maeneo kadhaa Kaskazini mwa Yemen
Marekani imeendeleza mashambulizi dhidi ya Yemen kwa kuanzisha wimbi jipya la mashambulizi ya anga katika maeneo mbalimbali ya nchi hiyo…
Marekani imeendeleza mashambulizi dhidi ya Yemen kwa kuanzisha wimbi jipya la mashambulizi ya anga katika maeneo mbalimbali ya nchi hiyo…