Iran: Sharti la msingi katika mazungumzo yoyote ni kuondolewa vikwazo

Esmail Baghaei, msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kwamba, mahitaji yetu ya kimsingi katika mazungumzo yoyote ni kuondolewa vikwazo kwa njia ambayo italeta matokeo yanayoonekana na yenye ufanisi.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *