Rais wa Kenya aelekea China baada ya Marekani kuongeza ushuru

Ziara ya siku tano ya Rais wa Kenya William Ruto nchini China inayoanza Jumanne imetajwa kuwa hatua muhimu katika mwelekeo wa kidiplomasia na kiuchumi wa Kenya, huku akilenga kukabiliana na hatua mpya zilizochukuliwa dhidi ya nchi hiyo na Marekani.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *