Katika ujumbe wa Pasaka: Papa atoa wito wa kusitishwa mapigano huko Gaza

Katika ujumbe wake wa Pasaka, kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani kwa mara nyingine tena ametoa wito wa kusitishwa mara moja mapigano katika Ukanda wa Gaza.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *