Mwito wa Iran kwa jamii ya kimataifa wa kuzingatiwa hali ya Gaza

Esmail Baghaei, msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametoa mwito kwa jamii ya kimataifa kuzingatia kwa uzito jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya watu wa Gaza.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *