CHADEMA yataka Lissu aruhusiwe kuonana na mawakili, jamaa zake

Chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania, CHADEMA kimevitaka vyombo vya dola vimruhusu Mwenyekiti Taifa wa chama hicho, Tundu Lissu kuonana na mawakili na jamaa zake.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *