Pezeshkian: Iran yajitahidi kutatua migogoro na kukuza Amani

Rais Masoud Pezeshkian wa Iran, amesisitiza kuwa serikali yake imejikita katika kutatua migogoro na kukuza amani, huku akieleza kuwa juhudi hizo hazitategemea matokeo ya mazungumzo yasiyo ya moja kwa moja na Marekani.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *