Khatibu wa Swala ya leo ya Ijumaa katika jiji la Tehran ameashiria mazungumzo yasiyo ya moja kwa moja kati ya Iran na Marekani kuhusu suala la nyuklia na kuondolewa vikwazo na akasema: “Katika mazungumzo hayo, tunapasa kuwa makini na tusimtegemee yoyote isipokuwa Mwenyezi Mungu, tusichoke kupambana, na tusifungamanisha hatima yetu na mazungumzo.”
Related Posts
Mlipuko wasababisha kituo cha ubalozi wa Marekani nchini Iraq – chombo cha habari
Mlipuko wasababisha kituo cha ubalozi wa Marekani nchini Iraq – chombo cha habariBado hakuna taarifa zozote kuhusu chanzo cha milipuko…
Mlipuko wasababisha kituo cha ubalozi wa Marekani nchini Iraq – chombo cha habariBado hakuna taarifa zozote kuhusu chanzo cha milipuko…
Libya yaitaka jamii ya kimataifa kuisaidia mzigo wa wakimbizi
Waziri wa Mambo ya Ndani wa Libya, Emad al-Tarabelsi, ametoa mwito kwa jamii ya kimataifa ukiwemo pia Umoja wa Ulaya…
Waziri wa Mambo ya Ndani wa Libya, Emad al-Tarabelsi, ametoa mwito kwa jamii ya kimataifa ukiwemo pia Umoja wa Ulaya…
Wafanyakazi wa Microsoft wavuruga sherehe, wasema AI ya shirika imechangia mauaji ya kimbari Gaza
Wafanyakazi wa shirika la Microsoft la Marekani wameandamana wakati wa tukio la sherehe ya miaka 50 ya kuanzisha kampuni hiyo,…
Wafanyakazi wa shirika la Microsoft la Marekani wameandamana wakati wa tukio la sherehe ya miaka 50 ya kuanzisha kampuni hiyo,…