Mamia hawajapatikana baada ya boti kuteketea moto, kuzama DRC

Mamia wa watu wangali hawajulikani walipo baada ya boti iliyokuwa na mamia ya abiria kuzama baada ya kuwaka moto katika eneo la Kaskazini Magharibi mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na kuua watu zaidi ya 50.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *