Pezeshkian: Iran, Saudia zinaweza kuwa kielelezo cha ushirikiano wa kikanda

Rais wa Iran Masoud Pezeshkian wa Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu na Saudi Arabia zinaweza kuwa kielelezo cha ushirikiano wa kieneo na kusisitiza kuwa, umoja wa nchi za Kiislamu ni sharti la kupatikana amani, usalama na maendeleo endelevu ya kiuchumi katika eneo hili.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *