Saudi Arabia, Iran zinasisitiza azma ya kupanua uhusiano wao wa kijeshi

Iran imesisitiza juu ya utayarifu wake wa kupanua uhusiano wa kijeshi na Saudi Arabia, wakati huu ambapo Waziri wa Ulinzi wa nchi hiyo ya Kiarabu, Mwanamfalme Khalid bin Salman yuko hapa Tehran tangu jana Alkhamisi kujadili usalama katika eneo hili.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *