Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu: Uhusiano kati ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Saudi Arabia utazinufaisha pande mbili

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa: Uhusiano kati ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Saudi Arabia utakuwa na faida kwa pande mbili na unaweza kuzifanya pande mbili hizo zikamilishane.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *