Jeshi la Somalia laua magaidi karibu 50 wa al-Shabaab katika mashambulizi 2

Jeshi la Somalia limewauwa magaidi 47 wa al-Shabaab katika mashambulizi mawili tofauti leo Alkhamisi, likiwemo lile la Aadan Yabaal katika eneo la Shabelle ya Kati, mji wa kimkakati uliotwaliwa na kundi hilo la kigaidi lenye mfungamano na al-Qaeda jana.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *