Araghchi: IAEA inaweza kutatua kwa amani faili la nyuklia la Iran

Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Sayyid Abbas Araghchi amesema Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) unaweza kuwa na nafasi na jukumu muhimu katika utatuzi wa amani wa suala la nyuklia la Jamhuri ya Kiislamu.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *