DKT. NCHEMBA ATETA NA MWAKILISHI MKAZI (UN WOMEN)

 

Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba Madelu (Mb), akiwa katika picha ya pamoja na Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linalohusika na masuala ya Usawa wa Jinsia (UN Women), Bi. Hodan Addou, baada ya kikao chao kilichofanyika Ofisi Ndogo za Wizara ya Fedha, Jijini Dar es Salaam, ambapo wamejadiliana masuala mbalimbali ya ushirikiano kati ya Shirika hilo na Tanzania.

Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba Madelu (Mb), akiagana na Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linalohusika na masuala ya Usawa wa Jinsia (UN Women), Bi. Hodan Addou, baada ya kikao chao kilichofanyika Ofisi Ndogo za Wizara ya Fedha, Jijini Dar es Salaam, ambapo wamejadiliana masuala mbalimbali ya ushirikiano kati ya Shirika hilo na Tanzania.
 
(Picha na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini, WF, Dar es Salaam)

The post DKT. NCHEMBA ATETA NA MWAKILISHI MKAZI (UN WOMEN) appeared first on Mzalendo.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *