Jasusi mzoa taka anaswa kwenye mtego wa vikosi vya Muqawama Ghaza

Vikosi vya Muqawama huko Ghaza vimemnasa kwenye mtego, jasusi wa utawala katili wa Kizayuni wa Israel ambaye alijifanya ni mzoa taka kumbe alikuwa anafanya ujasusi wa kujua walipo mateka wa Kizayuni.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *