Wafungwa Waislamu ‘wanalengwa’ na kukandamizwa nchini UK

Shirika moja la kupigania haki za kijamii limefichua kwamba, wafungwa Waislamu nchini Uingereza wananyanyaswa na kuwekewa mbinyo, ikiwa ni pamoja na kupigwa marungu na kuwekewa vizuizi hasa katika magereza yenye Waislamu wengi.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *