Katibu Mkuu wa UN: Umiminikaji wa silaha na wapiganaji nchini Sudan unatia wasiwasi

Wakati vita vya wenyewe kwa wenyewe nchini Sudan vinatimiza miaka miwili na kuanza mwaka wa tatu, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres amesema, anatiwa wasiwasi na namna silaha na wapiganaji wanavyoendelea kumiminika nchini humo.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *