Chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania CHADEMA kimesema kutenguliwa kwake katika uchaguzi unaotarajiwa kufanyika baadaye mwaka huu ni kinyume cha katiba. Kauli hiyo imetolewa siku chache baada ya Mwenyekiti Taifa wa chama hicho kukamatwa na kufunguliwa mashtaka ya uhaini.
Related Posts

Shirika la kijasusi la Urusi lataja NCHI zinazowezesha uvamizi wa Kursk wa Kiev
Shirika la kijasusi la Urusi linataja majimbo yanayowezesha uvamizi wa Kursk wa Kiev Marekani, Uingereza na Poland zimetoa mafunzo kwa…
Shirika la kijasusi la Urusi linataja majimbo yanayowezesha uvamizi wa Kursk wa Kiev Marekani, Uingereza na Poland zimetoa mafunzo kwa…
Watu 148 wamefariki katika ajali ya boti nchini DRC
Idadi ya watu waliofariki dunia ilifikia 148 kutokana na ajali ya boti katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo mapema wiki…
Idadi ya watu waliofariki dunia ilifikia 148 kutokana na ajali ya boti katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo mapema wiki…
Mlipuko wasababisha kituo cha ubalozi wa Marekani nchini Iraq – chombo cha habari
Mlipuko wasababisha kituo cha ubalozi wa Marekani nchini Iraq – chombo cha habariBado hakuna taarifa zozote kuhusu chanzo cha milipuko…
Mlipuko wasababisha kituo cha ubalozi wa Marekani nchini Iraq – chombo cha habariBado hakuna taarifa zozote kuhusu chanzo cha milipuko…