Polisi Kenya wamjibu Gachagua, wasema: Tutakulinda kama raia wengine

Idara ya Polisi ya Kenya imemwambia aliyekuwa Naibu Rais wa nchi hiyo, Rigathi Gachagua, kwamba italinda usalama wake kama raia wengine na imemtaka kutoa taarifa kwa polisi kuhusu ratiba na mienendo yake ili kuruhusu maafisa kupanga ulinzi wake ipasavyo.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *