Ripoti yabaini namna Waisraeli wanavyopora figo za Wakenya

Hospitali moja kibinafsi nchini Kenya yenye matawi kadhaa Afrika Mashariki, inachunguzwa na serikali ya Kenya baada ya kubainika kuwa inauhusika katika mtandao wa ulanguzi wa viungo vya binadamu ambavyo vinauziwa watu kutoka nje ya nchi hiyo wakiwemo Waisraeli.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *