Iran itawapokea wanafunzi na wasomi kutoka vyuo vikuu vya Gaza

Iran itawapokea kwa mikono miwili wasomi na wanafunzi wa Kipalestina katika vyuo vikuu vya Iran kufuatia uharibifu mkubwa wa taasisi za elimu katika Ukanda wa Gaza kutokana na mashambulizi ya utawala haramu wa Israel.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *