Idadi ya vifo Gaza yafikia 51,000 huku Israel ikiendelea na mashambulizi ya kinyama

Mashambulizi ya anga ya utawala haramu wa Israel katika Ukanda wa Gaza yamewaua Wapalestina wengine wasiopungua 17 katika saa 24 zilizopita, na hivyo kufanya idadi ya vifo kutokana na vita vya kinyama vya Israel vilivyoanza Oktoba 2023 kufikia 51,000.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *