Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran na Saudia wajadili mazungumzo ya Oman

Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran na Saudi Arabia wamefanya mazungumzo ya simu na kujadiliana kuhusu uhusiano wa pande mbili na maendeleo ya kikanda na kimataifa.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *