Wanachuo wa Iran waendeleza maandamano ya kuiunga mkono Palestina

Wanafunzi, maprofesa, wahadhiri na wafanyakazi wa Vyuo Vikuu vya mikoa ya Ardabil na Khorasan Kusini wamefanya maandamano ya kulaani ghasia na jinai zinazoendelea kufanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel huko Gaza.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *