Mkuu wa Kamisheni ya AU atoa mwito wa kukomeshwa mapigano nchini Sudan

Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika (AUC), Mahmoud Ali Youssouf ameelezea wasiwasi wake kuhusu kuongezeka ghasia nchini Sudan, hasa katika eneo la Darfur Kaskazini.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *