Viongozi wa Misri na Qatar wakaribisha mazungumzo ya Iran na Marekani nchini Oman

Rais wa Misri na Amir wa Qatar wametoa taarifa baada ya mazungumzo yao huko Doha, mji mkuu wa Qatar na kukaribisha mazungumzo yasiyo ya moja kwa moja kati ya Iran na Marekani huko Oman.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *