Zaidi ya watu 40 wameuawa katika shambulio la usiku wa manane dhidi ya jamii ya Zike huko Bassa, Jimbo la Plateau, huku mashambulio makali ya makundi yenye silaha yakiendelea kuripotiwa katika eneo hilo la kaskazini ya kati mwa Nigeria.
Related Posts
Kenya yatuma wanajeshi zaidi nchini Haiti
Kenya imetuma maafisa 217 zaidi wa polisi nchini Haiti, kama sehemu ya jeshi la kimataifa la kukabiliana na ghasia za…
Kenya imetuma maafisa 217 zaidi wa polisi nchini Haiti, kama sehemu ya jeshi la kimataifa la kukabiliana na ghasia za…
Trump aapa kuweka hadharani nyaraka za siri za mauaji ya kina Kennedy na Martin Luther King Jr.
Rais mpya wa Marekani Donald Trump ameahidi kuweka hadharani nyaraka za serikali zilizoainishwa kuwa za siri zaidi, zinazohusiana na mauaji…
Rais mpya wa Marekani Donald Trump ameahidi kuweka hadharani nyaraka za serikali zilizoainishwa kuwa za siri zaidi, zinazohusiana na mauaji…
Maziko ya mashahidi wa Muqawama yafikisha vilivyo ujumbe kwa walimwengu
Wakati utawala wa Kizayuni na mabeberu wa dunia wanapowaua kigaidi viongozi wa Muqawama, huwa wanajidanganya kwamba wamepata ushindi. Hii ni…
Wakati utawala wa Kizayuni na mabeberu wa dunia wanapowaua kigaidi viongozi wa Muqawama, huwa wanajidanganya kwamba wamepata ushindi. Hii ni…