Algeria yawapa wanadiplomasia wa Ufaransa saa 48 waondoke nchini humo

Mvutano wa kidiplomasia kati ya Algeria na Ufaransa umezidi kupamba moto huku serikali ya Algiers ikiwataka wanadiplomasia 12 wa mkoloni huyo wa zamani wa Ulaya kuondoka nchini humo ndani ya saa 48.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *