Zakharova:Tunasubiri kwa hamu safari ya ujumbe wa Iran mjini Moscow

Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia amesema kuwa nchi hiyo inasubiri kwa hamu ziara ya ujumbe wa Iran mjini Moscow ili kukutana na kuzungumza na wenzao wa Russia.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *