Mawaziri wa mambo ya nje wa Misri na Kuwait wakaribisha mazungumzo kati ya Iran na Marekani

Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Sayyid Abbas Araghchi amezungumza na mawaziri wenzake wa Misri na Kuwait na kuwaeleza kuhusu msimamo wa Tehran juu ya mazungumzo yasiyo ya ana kwa ana iliyofanya na Marekani.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *