Serikali ya DRC yalaani mauaji ya raia 52 yaliyofanywa na waasi wa M23

Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) imelaani mauaji ya raia 52 yaliyofanyika usiku wa Ijumaa hadi Jumamosi katika mji wa Goma wa mashariki mwa nchi hiyo ikisema kuwa, waasi wa M23 ndio waliofanya mauaji hayo ya umati.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *