Uhusiano na mkoloni Ufaransa wazidi kuharibika, Algeria yamwita balozi

Wizara ya Mambo ya Nje ya Algeria imemwita balozi wa Ufaransa mjini Algiers, Stephane Romatet ili kujieleza ikiwa ni kuonesha malalamikio makali ya Algiers kuhusu kuzuiliwa balozi mdogo wa Algeria nchini Ufaransa.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *