Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Sayyid Ali Khamenei leo Jumapili mchana amekutana na baadhi ya makamanda wa jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa mnasaba wa Mwaka Mpya wa Kiirani wa Hijria Shamsia na kusisitiza kuwa, adui amekata tamaa vibaya na amekasirishwa na maendeleo ya Jamhuri ya Kiislamu. Wakati huo huo amesisitiza kwamba, pamoja na kuwepo mapungufu, lakini kuna maendeleo pia yamepatikana, inabidi hayo nayo tuyaone.
Related Posts
Kursk inakera, Donbass kusonga mbele, na kurudi kwa ndege zisizo na rubani: Wiki ya mzozo wa Ukraine (VIDEOS)
Kursk inakera, Donbass kusonga mbele, na kurudi kwa ndege zisizo na rubani: Wiki ya mzozo wa Ukraine (VIDEOS)Vikosi vya Moscow…
Kursk inakera, Donbass kusonga mbele, na kurudi kwa ndege zisizo na rubani: Wiki ya mzozo wa Ukraine (VIDEOS)Vikosi vya Moscow…
Pyongyang yajibu mapigo, yavurumisha makombora baharini
Korea Kaskazini imevurumisha makombora kadhaa ya balestiki baharini leo Jumatatu, saa chache baada ya wanajeshi wa Korea Kusini na Marekani…
Korea Kaskazini imevurumisha makombora kadhaa ya balestiki baharini leo Jumatatu, saa chache baada ya wanajeshi wa Korea Kusini na Marekani…
Mijumuiko ya Siku ya Quds yafanyika nchini Kenya
Maandamano na mijumuiko ya siku ya kimataifa ya Quds imefanyika maeneo mbali mbali nchini Kenya katika ijumaa ya mwisho ya…
Maandamano na mijumuiko ya siku ya kimataifa ya Quds imefanyika maeneo mbali mbali nchini Kenya katika ijumaa ya mwisho ya…