Wizara ya Mambo ya Nje ya Misri imetangaza kuwa inatarajiwa mazungumzo kati ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Marekani yataanzisha awamu mpya itakayosaidia kuimarisha amani na kupunguza mivutano katika eneo la Magharibi mwa Asia kwa ujumla hususan Ukanda wa Gaza.
Related Posts
Msikiti wa Mosalla Tehran kupanuliwa kuwa msikiti mkubwa zaidi duniani
Eneo kubwa la Swala la Tehran maarufu kama Mosalla litapanuliwa na kuwa msikiti mkubwa zaidi duniani. Post Views: 19
Eneo kubwa la Swala la Tehran maarufu kama Mosalla litapanuliwa na kuwa msikiti mkubwa zaidi duniani. Post Views: 19
Afisa wa polisi wa Kenya auawa Haiti akilinda doria
Afisa wa polisi wa Kenya aliyepelekwa Haiti chini ya mpango wa Kikosi cha Kimataifa cha Kulinda Usalama Haiti (MSS) amefariki…
Afisa wa polisi wa Kenya aliyepelekwa Haiti chini ya mpango wa Kikosi cha Kimataifa cha Kulinda Usalama Haiti (MSS) amefariki…
Rais wa Iran awasili Russia kutia saini mkataba wa ushirikiano wa kistratijia wa miaka 20
Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian, amewasili nchini Russia katika hatua ya pili ya ziara yake baada ya ziara yake ya…
Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian, amewasili nchini Russia katika hatua ya pili ya ziara yake baada ya ziara yake ya…