Misri: Tunatumai mazungumzo ya Iran na Marekani yatasaidia kupunguza mivutano

Wizara ya Mambo ya Nje ya Misri imetangaza kuwa inatarajiwa mazungumzo kati ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Marekani yataanzisha awamu mpya itakayosaidia kuimarisha amani na kupunguza mivutano katika eneo la Magharibi mwa Asia kwa ujumla hususan Ukanda wa Gaza.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *