Taasisi ya Palestina: Jamii ya kimataifa isaidie sekta ya afya na tiba ya Gaza

Wizara ya Afya ya Palestina katika Ukanda wa Gaza imelaani jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel kwa kuishambulia Hospitali ya Al Maamadani na kuitaka jamii ya kimataifa kuisaidia sekta ya afya na tiba ya eneo hilo.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *