Iran yaitaka UN kutumia uwezo wake kusitisha mauaji ya kimbari Ukanda wa Gaza

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ameuhimiza Umoja wa Mataifa kutumia uwezo wake wote kusimamisha mauaji ya kimbari yanayofanywa na Israel katika Ukanda wa Gaza na mashambulizi yake dhidi ya watu wa Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *