Watetezi wa haki za binadamu wa Marekani wafungua kesi kusitisha vikwazo vya Trump dhidi ya maafisa wa ICC

Watetezi wa haki za binadamu wa Marekani wamewasilisha kesi mahakamani ili kusimamisha amri ya utendaji ya Rais Donald Trump ya kumwekea vikwazo Mwendesha Mashtaka Mkuu wa Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC), wakisema inakiuka vipengengee vya katiba kuhusu haki zao za uhuru wa kujieleza.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *