Nakala adimu ya Qur’ani katika Msikiti wa Al-Aqsa, iliandikwa na mjukuu wa Mtume

Jumba la Makumbusho ya Kiislamu katika Msikiti wa Al-Aqsa, Quds Tukufu (Jerusalem) inayokaliwa kwa mabavu, lina idadi ya vitabu adimu, ikiwa ni pamoja na nakala ya kipekee ya Qur’ani iliyoandikwa kwa hati za Kufi, ambayo mwisho wake inaeleza kuwa iliandikwa na Al-Hasan bin Al-Hussen bin Ali bin Abi Talib (as), mjukuu wa Mtume Muhammad, (saw).

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *